https://mixx.co.tz/?utm_source=ssp+banner&utm_medium=website&utm_campaign=kila+hatua+mixx&utm_content=bluetrain

Monday, 27 October 2025

HESLB Majina Ya Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026 Academic Year

  AjiraLeo Tanzania       Monday, 27 October 2025
WARNING
Beware of Job Scammers!
Please Never Pay Money To Get A Job!
HESLB Majina Ya Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026 Academic Year
HESLB
HESLB, Majina Ya Waliopata Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026 Academic Year,Majina Ya Waliopata Mkopo 2025/2026,Majina Ya Waliopata Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026,Majina Ya Waliopata Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025,Waliopata Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026,Waliopata Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025,Majina ya Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026,Wanuafaika wa Mkopo HESLB 2025/2026,MKOPO HESLB

ORODHA YA KWANZA YA WANUFAIKA 2024/2025 YATANGAZWA

HESLB Majina Ya Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026 Academic Year

TAARIFA KWA UMMA

426.5 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 135,240

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Oktoba 24,2025 imetoa awamu ya kwanza ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatato:

i.      Wanafunzi 40,952 wa shahada ya awali na wanafunzi 5,342 wa stashahada waliopangiwa mikopo kiasi cha TZS. 152 bilioni.

ii.     Wanafunzi 615 wa Samia Skolashipu waliopangiwa ruzuku kiasi cha TZS. 3.3 bilioni.

iii.     Wanafunzi 88,331 wanaoendelea na masomo wamepangiwa mkopo kiasi cha TZS. 271.2 bilioni baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka uliotangulia.
Read Also:

Bodi ya Mikopo itaendelea kutoa awamu zingine za mikopo na skolashipu kadiri itakavyopokea uthibitisho wa udahili kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza na matokeo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo. 

Aidha, Bodi ya Mikopo inawakumbusha waombaji wa mikopo na ruzuku kuendelea kufuatilia taarifa za maombi yao kupitia ‘SIPA’ wakati taratibu za uchambuzi na upangaji wa mikopo na ruzuku zikiendelea.

KUCHEKI MAJINA HESLB, CLICK HERE!

logoblog

Thanks for reading HESLB Majina Ya Mkopo Awamu Ya Kwanza 2025/2026 Academic Year

Previous
« Prev Post

No comments:

Post a Comment