Miguel Gamondi Ateuliwa Kuinoa Taifa Stars kuelekea AFCON 2025
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina kuwa Kaimu kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ akichukua mikoba ya Hemed Suleiman ‘Morocco’ ambaye mkataba wake umesitishwa kwa makubaliano ya pande mbili.CHECK NA HIZI:
- Ratiba ya Mechi Zote Makundi Klabu Bingwa CAF 2025/2026 | CAF Champions League 2025/2026 Fixtures
- Ratiba ya Mechi Zote za Makundi Kombe la Shirikisho Afrika 2025/2026 | CAF Confederation Cup 2025/2026 Fixtures
- Bodi ya Ligi ya TPLB: Taarifa Muhimu Kuhusu Ligi Kuu ya NBC
- Makundi ya Klabu Bingwa Africa 2025/2026 | Caf Champions League Groups 2025/2026
- Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2025/2026 | CAF Confederation Cup Groups 2025/2026
- Msimamo wa NBC Premier League Tanzania
- Msimamo Championship Tanzania
- Ligi 10 Bora Duniani | FIFA Ranking
- Top 10 ya Viungo (Midfielders) Bora Duniani
- Ijue Simba Historia ya Simba SC
- Soweto Derby History – Top Derby in Africa
![]() |
| Miguel Angel Gamondi |
.png)


No comments:
Post a Comment